Thursday 8 September 2016

TRADITIONAL MEDICINE FOR YOUR GOOD HEALTH(DAWA ZA ASILI KWA AFYA NJEMA)



Dunia nzima kwasasa inasumbuliwa na uchafuzi wa mazingira na matumizi ya vyakula vilivyo na sumu jambo ambalo hupelekea mlipuko wa magonjwa mbalimbali kama fungus,malaria,presha,na mengine mengi.

Ni katika kuhakikisha mwanadamu anapata udhibiti madhubuti juu ya mlipuko wa magonjwa hayo wanasayansi na madaktari wa tiba asilia wamefanikisha kulipatia ufumbuzi janga hili hatari.

Madaktari wa tiba asili wameweza kutengeneza madawa yenye msindiko wa kisasa kabisa,uwezo mkubwa wa kukabiliana na bacteria ama virus sababishi wa magonjwa hayo,madawa yenye uwezo wa kutibu kwa haraka na kwa kasi ya ajabu sana,bila kuacha sumu ndani ya mwili.

Ikiwa ni mchanganyiko wa mimea asilia yenye uwezo wa kuachia viritubisho bora kabisa mwilini na kukuacha ukiwa na ongezeko la damu ama seli hai za mwili baada ya kutibu ugonjwa wako.

Dawa hizi maalum kabisa kwa ajili ya afya ya binadamu zinapatikana katika maeneo ama mikoa yote ndani ya Tanzania na hata nchi za jiran Afrika,Ulaya,Asia,Marekani na kwingineko kote duniani kwa kiwango kile kile na ubora ule ule.

Dawa hizi zimekua na thibitisho halali kabisa wa Wizara ya Afya nchini Tanzania kwa kuthibitishwa na shirika la viwango nchini na kwingineko duniani kwa ajiri ya matumizi ya binadamu.

Dawa hizi hupatikana kwa bei nafuu kote nchini na humlenga kila mwananchi kwa kuzingatia jinsia,umri na hali ya uchumi ili kuhakikisha mwananchi anapata tiba iliyo bora kabisa kwa gharama nafuu zaidi.

Dawa hizi hutibu magonjwa mbalimbali kama kisukari,presha,michango kwa watoto wadogo,huondoa harufu mbaya,magonjwa ya ngozi,shinikizo la damu,kuongeza kuvu za kiume,kupandisha kinga za mwili(CD4),Malaria,Taifodi,Fungus,kupooza,Hutibu meno,Figo, na magonjwa mengine mengi yanayowakabili binadamu.

Kwa mkazi wa Mkoa wa Mwanza waweza kupata dawa hizi kwa urahisi zaidi baada ya kuwepo tawi kubwa kabisa ndani ya jiji hili na tawi hili lenye wafanyakazi wenye taaluma ya utabibu na wenye uwezo wa kukupa huduma bora zaidi popote pale ulipo ndani ya Jiji hili la Mwanza na hata mikoa mingine ndani ya Tanzania bila kuwepo kwa usumbufu wowote.

Kwa kuthibitisha hilo unaweza kujipatia dawa hizi kwa kuwasiliana na mtaalam kutoka katika tawi hilo hapa jijini Mwanza anaepatikana ama anaetambulika kwa jina la Dada Hilda Munisi bila kuchelewa atakufanya ukapata dawa hizo na kutatua tatizo lako kiurahisi zaidi na ufafanuzi wa kina.


Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana nae kwa namba yake ya simu ya kiganja  0753-90 19 97 au 0714-31 04 06.

Dawa bora kwa matibabu bora na matokeo ya afya iliyo bora zaidi.
Karibu sana



No comments:

Post a Comment

edwinmalima88@gmail.com

Comments system

[facebook] [disqus] [facebook][disqusss] [blogger][facebook] [facebook][blogger] [disqus][facebook][blogger] [blogger][disqus][facebook]

Disqus Shortname