Rapper hatari na mwenye flow za nguvu Jonacy aka Ninja ameendelea kua ktk headline jijini mwanza.
Rapper huyu Mwenye asili ya Rocky City(Ngosha),msukuma mwenye talent ama kipaji cha hali ya juu yuko ktk harakati ya kuipua kibao chake.
Jonacy amefanikiwa kupata nafasi ya kufanya ngoma na msanii kutoka Nigeria na pia beats ya Ngoma hiyo imetayarishwa na Edwin84 wa Black Policy Records na Clon Baba kutoka Nigeria.
Jonacy amewasihi mashabiki Wote ndani ya Tanzania,East Africa na Africa kwa ujumla kukaa mkao wa kula.
No comments:
Post a Comment
edwinmalima88@gmail.com