Monday 20 June 2016

''Who Is The Best’’ Between Ali Kiba & Diamond Platinum?(Nani Mkali Kati Ya Ali Kiba & Diamond Platinum)?!.


There is some  rumors in our society(Tanzania) and all over the world that,Ali Kiba is very talented compare to Diamond Platinum. Some people say Ali Kiba have good and romantic voice when he sing songs and can attract the audience when he perform on the stage rather than Diamond.

Others say Diamond Platinum is the best vocalist in Tanzania and all over Africa at this time and he make his music internationally,so you can’t compare with Ali Kiba at all. So which is which!!?

As you real like  this  two Artist and you think that they make music internationally ,give your comments who is best direct by click the link and give out your comments and your choice by mention  name of your artist between these two.The winner will get a chance for his video to be shown on Climax Tv for 3 day.
''Kiswahili''.
Kuna uvumi katika umma wa Kitanzania na dunia nzima kwa ujumla kwa sasa kua Ali Kiba ni msanii kutoka Tanzania  mzuri na mwenye sauti nzuri pindi anapoimba nyimbo zake na anawavutia na kuwapagawisha mashabiki wake anapokua ana fanya shoo zake katika jukwaa ukilinganisha na Diamond.
Wengine wanadai kua Diamond Platinum ni msanii bora  Tanzania na Afrika nzima kwa ujumla kwa hivi sasa na anafanya mziki wake kimataifa,kwahiyo huwezi ukamlinganisha na Ali Kiba hata kidogo.

Kipi ni sahihi? Kama wewe ni mpenzi wa muziki na unafikiri na kuhisi kuwa wasanii wote hawa wanafanya muziki wao kimataifa na ungependa kutoa maoni yako juu ya uvumi huu ulochukua nafasi kubwa sana kwa sasa,Toa maoni yako kwa kubofya katika post hii moja kwa moja na utoe maoni(comments) yako nani mkali kati ya wasanii hawa wawili.
 
Mshindi kati ya wasanii hawa wawili atapata nafasi ya kuoneshwa kwa video yake katika page(ukurasa) yetu ya Climax Tv ndani ya muda wa siku 3 mfululizo kumpa nafasi ya kuonekana zaidi katika kuhakikisha anatangaza sanaa yake na Taifa letu kwa ujumla kimataifa.
Mwisho wa shindano hili ni kesho saa 6:oo mchana(  The competition end up tomorrow at 12:00 noon).
 

 

 

No comments:

Post a Comment

edwinmalima88@gmail.com

Comments system

[facebook] [disqus] [facebook][disqusss] [blogger][facebook] [facebook][blogger] [disqus][facebook][blogger] [blogger][disqus][facebook]

Disqus Shortname